Friday, April 30
Introducing Bella
Huyu ndio mdau mpya, Bella, aliyezaliwa Alhamis iliyopita.
Cuuuuuuuuuuuuuuute!
Hapa akiwa na baba yake, Dr Moses Ringo, aka Dr Mo, siku hizi anakwambia "niite Baba Bella"
Ba'mtu anamgeza mdau...kidole!
...wanapinga urafiki mapemaaa...sweet!
1 comment:
Unknown
said...
Raha sana kuona mwanaume anajali kama hivi.
Thu May 06, 02:48:00 PM GMT+3
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
1 comment:
Raha sana kuona mwanaume anajali kama hivi.
Post a Comment