Showing posts with label Myth. Show all posts
Showing posts with label Myth. Show all posts
Thursday, January 29
Thursday, January 22
Uzi Mweusi Mkononi Kwa Mtoto
Huku mitaani kwetu, hasa ukwa sisi tunaoishi uswahilini ni kitu cha kawaida kabisa kuona mtoto amefungwa uzi mkononi, wenyewe wanasema unafukuza watu na vitu vibaya wanaotaka kumdhuru mtoto. Wadau hiyo imakaaje kaaje, na kwa waliowahi kufanya hivyo watupe faida zake, ukute utandawazi unatuharibu, vitu vingine vina faida tunadharau.
Thursday, January 15
Kubemenda Mtoto???
Wadau hivi nani hajawahi kusikia kuhusu kubemenda mtoto huko majumbani na mitaani kwetu. Ila mimi pamoja na kupekua huku na kule wakati wa ujauzito na hadi leo sijawahi kuona kubemenda kwa nchi zilizoendelea. Hivi kweli kuna kitu kama kubemenda mtoto? Ni nini hasa? na inasababishwa na nini?
Subscribe to:
Posts (Atom)