Wadau Jasmine na J wakifanya homework home kwao Mabibo...fuatilia uone colabo hiyo.
Showing posts with label Siblings. Show all posts
Showing posts with label Siblings. Show all posts
Thursday, December 6
Monday, June 11
Beautiful Bibi Ever
Emmanuel keshajizoelea mwenyewe analelewa na bibi.
Bibi na mjukuu, Watoto wetu wote wanapitia katika mikono ya Bibi Joan.
Wakiwa kwake wapo kwenye mikono salama.
Wajukuu (Geofrey, Joan, Cleopatra na Emmanuel) wanakupenda mno mama.
Saturday, May 26
Sunday, May 6
Joy & Joel
...wadau Joy & Joel... wako wasweeeeet!
“Watoto wangu nawapenda sana mungu awaongeze katika maisha
yenu,” from loving mama.
Wednesday, February 29
X ingizo jipya!
![]() |
New family member anaitwa Xyleen Lerato Mapunda...hii ni few minutes after birth! |
During my time out nimeleta kitu kipya! Huyu ni mdogo wake Xchyler, anaitwa Xyleen (tamka Shyleen) kifupi ni Xy (Shy). So unaweza kuniita 'Mama X squared'.
![]() |
Kaka mtu, aka Biggie aka X anampendaaaaaa balaaa...! I know for sure anampenda kuliko mtu yeyote! |
X alikuwepo tangu mwanzo, alikua anamsubiri kwa hamu huyo mtoto... |
Safari yake ilianzia wakati uleeeee nikiwa SA, so ndio maana tukampa jina la kati la Lerato lenye sili ya ki-Tswana lenye maana ya pendo.
![]() |
...Pozi la tumbo.... |
![]() |
Bize hadi siku ya mwisho... |
Hii ilikua kama siku tatu before kumpokea mgeni huyo...nilienda kazini hadi Ijumaa, Jumamosi mchana nikaenda hospitali, nikajifungua usiku wa kuamkia Jumatatu.
Binti shashiriki matukio mengi ya kifamilia, ikiwamo hii graduu ya dady... |
![]() |
anapenda sana kucheka. |
Leo anatimiza miezi sita ya kuzaliwa, so alizaliwa August 29, 2011. Ana kajino kamoja, hiyo picha ya kajino bado sijaipata, maana ni la chini, so kulipata kwenye pozi si kazi ndogo! Katika miezi sita hii kuna mengi ya kusema juu yake, ila mtamjua tu taratibuuu...
![]() |
...na hapa kwenye bembea yake humtoi! Of all the things anapenda kula, anything, ila haswa nyonyo!!! |
![]() |
hapa na dady home... |
![]() |
Nashkuru Mungu nimepata shost wa ukweliiii...swali ni nimejizaa au sijajizaa??? |
Mdau na wewe una update? Iwe la mdau huyo huyo wa zamani tunayemjua au una ingizo jipya we tuma kwenye mamanamwana@gmail.com, maana nimewamisi wadau wangu balaaa!
Tuesday, May 25
Jameel & Rehema wanawapa hi!
Wadau Jameel na Rehema Mwakitalu wanawapa hi wadau wooooote wa Mama na Mwana.
Rehema akiwa amepoziii...
Sunday, May 23
Asra, Abra na Naira wanawapa hi!
Mdau Abra akiwa amepozi...
Mdogo wake Abra, anaitwa Asra...hawa wadau hawajaonekana siku nyingi sana...Mashallah, wamekua, hongera wazazi kwa kukuza.
Hapa Abra anatuletea mdau mpya ambaye ni cousin wao, anaitwa Naira...Karibu!
wadau wote watatu...baautiful!
Abra, Asra na Naira wanawasalimia wadau woooote, wanasema wanawapenda sana.
Tuesday, May 18
Karibu Baraka
Jana tu nimeulizia baby no 2, nimepata jibu toka kwa Edda Mmasi, anasema yeye tayari keshatuletea mdau wa pili.
Malaika huyu mpya, anaitwa Baraka, amezaliwa Ijumaa ya tarehe 30 April.
Cuuuuuuuuuuuuuuuuuute!
Alizaliwa kwa operation, maana alikua 4kg, Mungu amejalia, mdau na mama, Edda Mmasi wanaendelea vizuri. Kaka yake mkubwa anaitwa Prince, ni mdau wa siku nyingi sana hapa kwenye playground yetu.
Hapa kaka mkubwa akinywa soda kwenye sherehe yake ya kutimiza miaka miwili, ilikua February 2.
tam tam ya pool table...
Party ilikua home, then akaenda kujivinjari South beach, kama anavyoonekana hapo chini...
Miwani imemtoa bomba!
*****
Mama na Mwana pamoja na wadau woooote tunampongeza mamie Edda kwa kuleta mdau mpya wa kucheza naye hapa kwenye playground yetu, pia tunamuombea mdau mpya Baraka, Mungu amjaalie afya njema na maisha merefu yenye kheri na baraka tele amzidi hata wa jina wake Baraka Obama.
Thursday, April 8
Abra anajidai na baby sister
Mdau Abra alikua akituambia amepata baby sister sasa anawiki moja anaitwa Asra
Huyu ndio mdau mpya Asra...
...na huyu ndio da'mtu Abra...
*****
Hiyo seti ya majina nimeipenda, Abra, Asra.
Sunday, December 6
Wednesday, November 4
Tuesday, October 13
Valle & Vice wanakula raha!


Wadau wa siku nyiiingi, Valencia na kaka yake Vicent wamepatiwa na mama yao, maana wana ugonjwa wakuchezea maji (kama X) basi mama yao, Lulu Kilonzo akaona isiwe tabu, akawanunulia hilo bwawa la plastiki, anawajazia maji humo wachezeee wee hadi wachoke.
Kwa kweli Lulu kama ulikua kwenye mawazo yangu, maana hata mi kila siku nawaza kumnunulia X, maana anavyopenda maji, we acha tu!
Nataka nijue bei yake tu, niliangaliaga zamani kidogo haikua bei mbaya sana, na kulinganisha na bwawa la ukweli, hiki kijibwawa ndio ukombozi wetu!
Kwa kweli Lulu kama ulikua kwenye mawazo yangu, maana hata mi kila siku nawaza kumnunulia X, maana anavyopenda maji, we acha tu!
Nataka nijue bei yake tu, niliangaliaga zamani kidogo haikua bei mbaya sana, na kulinganisha na bwawa la ukweli, hiki kijibwawa ndio ukombozi wetu!
Sunday, October 11
Friday, August 14
Friday, June 12
Friday, April 10
Thursday, January 22
Subscribe to:
Posts (Atom)