Wednesday, January 14

Kudondosha Pacifier


Mtoto Wa Kwanza: Pacifier ikidondoka unaichukua unaiosha na kuichemsha ndio unampa mtoto aitumie tena.
Mtoto wa Pili: Pacifier ikidondoka unaisuuza na maji masafi yaliyochemshwa yaliyo karibu,hata kama yamepoa, then unairudisha mdomoni kwa mtoto.
Mtoto wa Tatu: Unaifuta kwanye t shirt au khanga yako kasha unairudisha mdomoni kwa mtoto.

No comments: