Friday, March 16

Newton Baptism

 Newton akipakwa mafuta (aliyemshika ni baba yake wa ubatizo).

 Akimwagiwa maji ya ubatizo.


 Akipakwa mafuta, katuliiiiia mwenyewe.

Newton, ma'mtu na baba wa ubatizo.
 Hongera Newton kwa ubatizo tunasubiri na picha za komunio na kipaimara miaka ijayo.


Wednesday, March 14

Happy Birthday Joan

Leo unatimiza 7 years old. 
Hongera. 
Mama, Baba na Bibi Joan wanakupenda sana. 
(Aunties) Mama Emmanuel, Mama Cleopatra na Uncle Justin wanakupenda pia.
Pia kaka Geof, Cleopatra na Emmanuel wanakupenda wanajua unawapenda sana

Ujumbe: Uache utundu usome

Tuesday, March 13

Unataka kuwa kigori forever???

Wachina wana mambo....mie mwenzeni hii stori ndio nimeiona jana jioni...
Haya sasa wameleta mashine ya kusimamisha matiti (maziwa saa sita!) , kwa wale wasiopenda yaliyolala, yawe yalilala natural, kwa ajili ya kunyonyesha kina X, au basi tu uzee unakunyemelea.
Hapap hapa bongo unalipa hela si nyingi sana ni kuanzia laki na nusu (urembo gharama) unaanza kuvutwa, hadi kieleweke!
Habari iliyondikwa kwenye gazeti la Mwananchi la Jumapili inasema kuwa huduma hiyo ya kusimamisha matiti yaliyolala, imeanza kutolewa katika Saluni ya Blue Palace, iliyopo nyuma ya Shule ya Mapambano, Sinza jijini Dar es Salaam. (am sure hadi leo ishajaa watu)

Mashine yenyewe ndio hiyo...
Unaambiwa mashine hiyo inayoitwa ‘Beauty Machine’ ina uwezo wa kusimamisha matiti ya kila saizi kwa kuwa huambatanishwa na vibakuli (cups) kama unavyoona pichani hapo chini. Kazi kubwa ya mashine hiyo ni kuamsha misuli ambayo hushikilia nyama za matiti.

Mashine ya kusimamisha matiti kazini...


Haya kina mama na kina dada kazi ni kwenu!


Monday, March 12

Mdau Mpya - Jacob


Mkaribisheni mdau mwenzenu anaitwa Jacob Ntiharizwa,
alizaliwa Feb 21, 2012 katika Hospital ya TMS @ Doctors Plaza Mbezi Beach

Hongera Alpha na Nora kwa Baby Boy, Mungu awakuzie.
 

Thursday, March 8

Mdau mpya - Emmanuel




Emmanuel: Kwa wakristo maana yake ni Mungu pamoja nasi.
Alizaliwa Dec 4, 2011.

 Emmanuel ( he is very handsome) na ma'mtu wakipozi. Pole kwa ma'mtu alijifungua kwa C-section.


Like mother like son.

 Waki show love na Cleopatra.( Dada na kaka).

  Mama ya Cleopatra na mama ya Emmanuel ni mtu na mdogoye.

 Mama ya Emmanuel akiwa kwenye safari ya mwisho ya kumngoja mgeni.


 Cleopatra nae hakuwa nyuma kumngoja mdogo wake kwa hamu kubwa sana.

Kila la heri mama Emma katika makuzi ya mtoto.

Happy Women's Day!


Yeeees, mama popote, it is called multitasking - nio anachofanya huyu mwezetu hape...mie namvulia kofia, sijui wewe???
Siku njema ya Wanawake to all...

Tuesday, March 6

Cleo naye alikua kwenye photoshoot...

Cleo akiwa na ma'mtu Xtina kwenye photoshoot shuleni Kibasila Sec jana mchana...


...Yap, unaweza sema superstars are born, not made ukitaka... Mdau Cleo, amefanya photoshoot kwa ajili ya jarida la Fema. Mtaziona zenyewe zitakazo tumika later... (XTina hebu tupe mchapo ilikuaje kwenye shooting). 

Happy birthday (belated) Kwimage


Mrembo Kwimage (Maria). You look mmmwah!

Kwimage (Maria) wa Tabata Segerea alisherehekea kutimiza miaka minne kwa birthday bash ya uzito wa kutosha...Hongera sana cutie.


...tam tam ya ukweliiii....

Monday, March 5

Xyleen is on TV

Hapa walikua kwenye Youth Symposium ya ofisini kwetu (Femina)...
 Watu wawili-watatu wanauliza kama huyo ndio yule wanayemuonaga kwenye Fema TV talk show...yesss, ndio yeye, pale huwa yuko kama Zulu, mtoto wa Bwana Ishi.



Fema TV talk show inaonyeswa ITV kila Jumamosi saa 1:30 usiku na Star TV kila Jumatatu saa 3:00 usiku... so kama hujaona Jumamosi ya wiki hii na zingine zilizopita, icheck leo hii...

Friday, March 2

Farida na mashost wake wa ukweliii!

Naitwa Farida, nipo na wanangu hapa, Aaliyah (4yrs) na Abbygirl  (1 yr)

Farida anasema, ni marafiki zangu wa kweli.nawapenda.ndio wanaonipa furaha wakati wote.Nafanyakazi kwa bidii kwa ajili yao.kina mama tusiwatupe watoto wetu.tuwapende.
i luv my princess very much..

Happy belated birthday Abiel

Fashonista...eti kametisha keki na gauni, amependezajeeee?

Mdau mcuuuuute Abiel Celine alitimiza mwaka tarehe 23 January mwaka huu...hongera sana, umekuaaaaa.... 

Wednesday, February 29

X ingizo jipya!

New family member anaitwa Xyleen Lerato Mapunda...hii ni few minutes after birth!
During my time out nimeleta kitu kipya! Huyu ni mdogo wake Xchyler, anaitwa Xyleen (tamka Shyleen) kifupi ni Xy (Shy). So unaweza kuniita 'Mama X squared'.

Kaka mtu, aka Biggie aka X anampendaaaaaa balaaa...! I know for sure anampenda kuliko mtu yeyote!


X alikuwepo tangu mwanzo, alikua anamsubiri kwa hamu huyo mtoto...


Safari yake ilianzia wakati uleeeee nikiwa SA, so ndio maana tukampa jina la kati  la Lerato lenye sili ya ki-Tswana lenye maana ya pendo.
...Pozi la tumbo....



Bize hadi siku ya mwisho...
 Hii ilikua kama siku tatu before kumpokea mgeni huyo...nilienda kazini hadi Ijumaa, Jumamosi mchana nikaenda hospitali, nikajifungua usiku wa kuamkia Jumatatu.





Binti shashiriki matukio mengi ya kifamilia, ikiwamo hii graduu ya dady...
 Kuna walionitumia msg kuuliza kama huyo hapo ni X, yes, ni yeye akiwa na memba mpya wa familia, wakimpa tafu dady kwenye mahafali. (Huyo ni classmate wa dady, Hoyce Temu).




anapenda sana kucheka.

Leo anatimiza miezi sita ya kuzaliwa, so alizaliwa August 29, 2011. Ana kajino kamoja, hiyo picha ya kajino bado sijaipata, maana ni la chini, so kulipata kwenye pozi si kazi ndogo! Katika miezi sita hii kuna mengi ya kusema juu yake, ila mtamjua tu taratibuuu...


...na hapa kwenye bembea yake humtoi!

Of all the things anapenda kula, anything, ila haswa nyonyo!!!
hapa na dady home...

Nashkuru Mungu nimepata shost wa ukweliiii...swali ni nimejizaa au sijajizaa???

Mdau na wewe una update? Iwe la mdau huyo huyo wa zamani tunayemjua au una ingizo jipya we tuma kwenye mamanamwana@gmail.com, maana nimewamisi wadau wangu balaaa!

Introducing Christine & Cleopatra

Xtina akiwa na Cleo...wamependezaje???

Hapo juu kulia utaona kuna jina jipya. Huyo ni mdau mwenzetu, anaitwa Christina aka Xtina , mwanae anaitwa Cleopatra aka Cleo.

Xtina ndio ntakua nasaidiana naye kuweka mambo sawa hapa bloguni. So mkimuona hapa mjue yuko nyumbani.

Nimerudi tena!

Yes, am back!
Naomba wadau woooote mniwie radhi kwa kupotea kwa karibu mwaka mzima, ila kiukweli kuna mengi yameendelea hapo kati ndio yakanifanya niwe kimya muda mrefu.

kuna mambo mapya kibao yatawajia, as mnavyoona changes zinazotokea hapo juu, ambazo bado zinashughulikiwa nia ni katika ku-add value kwenye blog yetu hii.

Shukrani kubwa na za kipekee zimwendee Shamim aka Zeze wa 8020 Fashions kwa juhudi zake kubwa kunipa moyo kurudi kwenye gemu...Mungu akubariki sana na uendelee kuwa na roho safi!



New Look!

Yap, kuna kitu kinaitwa tabs hapo juu, nia ni kupanga mambo kufuatana na category yake...ndio tunaanza, so ukibonyeza utapata test post ila tutazidi kuongeza vitu kadri siku zinavyoenda. 
Wadau wenye mambo mazuri yanayoendana na category zetu mpya, tafadhali msisite kututumia tu-share na wengine.
I hope you like it!

Endelea kuwa nasi, ili kupata vitu hivyo vipya!

Thursday, February 23

HIV/AIDS test


Wapenzi wa blog hii naimani ratiba hii mtaipenda sana kwakua ipo
katika lugha ya kiswahili na vyakula ni vile vile vinapatika nyumbani
tanzania na kwingine kokote dunianai kwa urahisi sana hata kariakoo
sokoni vyote vinapatikana kwa bei nafuu.

Mafunzo jinsi ya kuandaa kila siku tutakua na funzo la siku hiyo
nitaweka post kuaznia leo kwa ratiba ya Jumatatu (leo) tembelea blog kwa
maelezkezo jinsi ya kuandaa www.activechef.blogspot.com

Nitaweka mafunzo jinsi ya kuandaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho na
mahitaji yote pia nitaweka list ya vitu vyote unavyotakiwa kununua kwa
wiki nzima pia ukiniambia idadi na umri wa mtoto ninaweza kukuambia
bajeti ununue kiasi gani ili chakula kisikae sana na kisiharibike.

Nawatakia siku na kazi njema
Chef Issa

Ukuaji test


Wapenzi wa blog hii naimani ratiba hii mtaipenda sana kwakua ipo
katika lugha ya kiswahili na vyakula ni vile vile vinapatika nyumbani
tanzania na kwingine kokote dunianai kwa urahisi sana hata kariakoo
sokoni vyote vinapatikana kwa bei nafuu.

Mafunzo jinsi ya kuandaa kila siku tutakua na funzo la siku hiyo
nitaweka post kuaznia leo kwa ratiba ya Jumatatu (leo) tembelea blog kwa
maelezkezo jinsi ya kuandaa www.activechef.blogspot.com

Nitaweka mafunzo jinsi ya kuandaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho na
mahitaji yote pia nitaweka list ya vitu vyote unavyotakiwa kununua kwa
wiki nzima pia ukiniambia idadi na umri wa mtoto ninaweza kukuambia
bajeti ununue kiasi gani ili chakula kisikae sana na kisiharibike.

Nawatakia siku na kazi njema
Chef Issa

Fedha test


Wapenzi wa blog hii naimani ratiba hii mtaipenda sana kwakua ipo
katika lugha ya kiswahili na vyakula ni vile vile vinapatika nyumbani
tanzania na kwingine kokote dunianai kwa urahisi sana hata kariakoo
sokoni vyote vinapatikana kwa bei nafuu.

Mafunzo jinsi ya kuandaa kila siku tutakua na funzo la siku hiyo
nitaweka post kuaznia leo kwa ratiba ya Jumatatu (leo) tembelea blog kwa
maelezkezo jinsi ya kuandaa www.activechef.blogspot.com

Nitaweka mafunzo jinsi ya kuandaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho na
mahitaji yote pia nitaweka list ya vitu vyote unavyotakiwa kununua kwa
wiki nzima pia ukiniambia idadi na umri wa mtoto ninaweza kukuambia
bajeti ununue kiasi gani ili chakula kisikae sana na kisiharibike.

Nawatakia siku na kazi njema
Chef Issa

Elimu test


Wapenzi wa blog hii naimani ratiba hii mtaipenda sana kwakua ipo
katika lugha ya kiswahili na vyakula ni vile vile vinapatika nyumbani
tanzania na kwingine kokote dunianai kwa urahisi sana hata kariakoo
sokoni vyote vinapatikana kwa bei nafuu.

Mafunzo jinsi ya kuandaa kila siku tutakua na funzo la siku hiyo
nitaweka post kuaznia leo kwa ratiba ya Jumatatu (leo) tembelea blog kwa
maelezkezo jinsi ya kuandaa www.activechef.blogspot.com

Nitaweka mafunzo jinsi ya kuandaa kuanzia mwanzo mpaka mwisho na
mahitaji yote pia nitaweka list ya vitu vyote unavyotakiwa kununua kwa
wiki nzima pia ukiniambia idadi na umri wa mtoto ninaweza kukuambia
bajeti ununue kiasi gani ili chakula kisikae sana na kisiharibike.

Nawatakia siku na kazi njema
Chef Issa