Tuesday, May 21

Hi toka kwa Carine



Habari zenu watoto wenzangu naitwa Carine leo niko hivi, muda mrefu sijapita kuwasalimu. tatizo mama ananibania kunipiga picha jamani. 

Nawapenda sana rafiki zangu, wasalimie baba na mama zetu huko majumbani.

By Carine

No comments: