Wednesday, January 7

Kumeza Sarafu(coin)

Jayson James akiwa amekula pozi.
***
Mtoto wa Kwanza: Mtoto akimeza sarafu ya hela au kitu kigumu unakimbilia hospitali na unang’ang’ania wampige x ray kuangalia kiko wapi.
Mtoto wa Pili: Akimeza sarafu ya hela unasubiria kuangalia kama imeshapita na kuitoa kwa njia ya choo.
Mtoto wa Tatu: Huyu akimeza hela kama shingi mia, unaitoa kwenye hela zake ulizotaka kumpa anunulie juisi.

No comments: