Friday, January 9

Ujauzito - Dalili No. 2

Joto La Mwili Kuwa Juu Saa Zote


Mtu mjamzito huwa ana joto kali kuliko ilivyo kawaida, so kama watu wakikusalimia kwa kukushika mkono wanasema unajoto kali, na unajua sio kawaida yako na wala huna homa, na ukijichunguza mwanyewe unaona kweli joto limezidi,then ujue labda tayari.

No comments: