Thursday, January 8

Ujauzito - Dalili No. 3

Period Kuyeyuka
***
Hii ni moja ya dalili tatu kuu, ingawa mwanamke unaweza kumiss period kwa sababu tofautitofauti, ukweli ni kwamba huwezi kuwa mjamzito na period ikaja kama kawaida, na swali la kwanza unalojiuliza mwanamke kama ukikosa period ni mimba, hata kama unatumia kizuizi!

No comments: