Wednesday, January 7

Ujauzito - Dalili No. 4

Kukojoa Mara Kwa Mara

Siku hizi ukiwa mjamzito vifashion kibao, Regina anaonyesha.
***
Kabla hata mtoto hajaanza kukandamiza kibofu chako akiwa mkubwa tumboni, utaanza kwenda msalani mara kwa mara kwanini? Well, mimba inafanya kiwango cha maji kiongezeke mwilini, so safari za kile kichumba kidogo zinaanza mapema.

No comments: