
Wamependeza sana kiukweli...na huyu baba mtu anavyojidai na huyo mtoto, utadhani yeye ndio mtu wa kwanza kuwa na mtoto...maana hiyo miezi mitatu tumetangaziwa ofisini, na picha imepigwa (afu kaiphotoshop mwanyewe, nimeletewa), sipati picha besdei ya mwaka mmoja itakuwaje.
Hongera kwa kuwa baba, kumpenda mam'mtu (Rosemary Mallya) na kujidai na mwanao.
No comments:
Post a Comment