Sunday, May 10

Happy Mother's Day - Wadau Woote!

Jamani, Happy Mother's Day wadau wengine woote mnaonisapoti katika blog hii ya jamii ndogo, ambao sina picha zao wakiwa na watoto wao. Naomba niwataje wachache ninaowakumbuka ambao nina picha za watoto wao ila zao sina kama mama Glory Moshi, mama Dorice, mama Joshua, mama Dorries Nkone, mama Kelvin Pongo, mama Daniel, mama Henry Mgwabati, mama Lisa-Joann, mama Jamil Jamidu, mama Sophy Mahanga, mama Louis Lusajo, mama John, mama Glory Mroki, mama Atelovi Manni na wengine woote ambao labda nimesahau majina.
Pia nawatumia salamu za Mother's Day wakina mama wooote wanaonnisapoti anonymously kwa salamu, mails, comments na hata kutembelea blog hii kimya kimya.
Na pia, kina mama wooote.

You may never know how speacial a woman is until you become a mother, yaani hapo ndio utajua kwa nini Mungu alimuweka mwanamke wa mwisho kabisa kwenye uumbaji wake, na baada ya kumuumba mwanamke akaona hamna haja ya kuongeza.
Mothers, you are all special.

No comments: