Thursday, July 30

Prof. Xchyler

Nimetumiwa hii picha na babamtu, kaniambia wakati mi niko kwenye kijishule changu, X kawa profesa -hata sijui wa nini- nikaambiwa niwataarifu wadau juu ya hilo.
Nimecheka sana hii picha kwa kweli...maana huyo Xchyler anajifanya yuko serious, na miwani ya maigizo!

3 comments:

pam said...

kamependeza imemfanya awe mkaka kwelikweli au amekua?ila angalia asizoee sana kuvalishwa miwani hata kama huwa analilia...zina effect sana kwenye sight visibility ya mtoto...nakumbuka when i was young mama yangu alikuwa akirudi kazini ukishika miwani yake atakutizama kwamba nilikuambiaje kuhusu watoto na miwani?unaacha mwenyewe...

phd said...

phd said...mmmmhhh amependeza sana x big up x

Anonymous said...

Hahaha mh asili yao hakuna ma Proo wa nanihii kweli. Maana huo ni kurithishana tu.