Tuesday, September 1

Tahadhari Zaidi...S 26 Bado Zinauzwa

Taafira za kuaminika nilizopokea hivi pinde zinasema maziwa haya yaliyokatazwa, S26 bado yapo madukani, kwa hiyo nachukua nafasi hii kuwataadharisha tena wadau ambao walikua hawajajua kwamba maziwa haya yamekatazwa kwani ni hatari kwa watoto.

No comments: