Ma'mtu kaniambia mdau anaenda kulia birthday hii kwa bibi Kigoma, mi naomba niletewe migebuka!
Sifa kubwa ya mdau ni utundu! Nahisi hata X haingii ndani hapa kwa utundu!
Mama na Mwana pamoja na wadau wooote tunamtakia Harieth maisha mema, marefu yenye kheri na fanaka tele, Mungu amjaalie sana.
1 comment:
Waooh katoto kazuri jamani, mama mtu Regina hongera sana kwakukuza.
Post a Comment