Tuesday, January 6

Ujauzito - Dalili No. 5


Kuvimba Mwili GhaflaRegina Kumba akiwa amekula pozi, mtoto huyu tunamsubiri kwa hamu mwezi ujao, maana tayari ni memba.
***
Mabadiliko ya hormones kunaweza kukakufanya ujisikie kama umevimba, na nguo zinaweza zikawa zinakubana flani hivi ingawa wala hata hujaanza kunenepa, na watu wengine wanakuona kawaida tu.

No comments: