tumehama
Afya
Birthday
Elimu
Fedha
HIV/AIDS
Lishe
Malezi
Ukuaji
Wednesday, March 11
Maulid Baby
Emiliana Abel akimwangalia mwanae huku aamini macho yake baada ya kujifungua usiku wa kuamkia siku ya Maulid katika hospitali ya Temeke.
Watoto 18 wamezaliwa jana hospitalini hapo, wakati 25 walizaliwa hospitali ya Amana.
Mungu awabariki maisha marefu, yenye afya na mafanikio.
(Picha na Fadhili Akida)
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
No comments:
Post a Comment