Makofi ni sehemu ya mikogo yake...
Yuko serious kwenye kucheza, hataki utani....
Weeeweeeee, utamtaka!
Hapa sio kwamba anatambaa, ila alikua anacheza mpaka chini!
Ila mwisho aliishia kulala mikononi mwa bibi, maana si kucheza tu, X alifanya fujo sana, alikua anazurura na kukimbia ukumbi mzima, nilikua na kazi kubwa ya kukimbizana nae, kiasi kwamba hata mimi usiku nililala hoi!
6 comments:
Hahahahaa Xchyler bana...yaani mikwara yooote hiyo! Hapo I cant imagine aliwamwagiaje wenzie vinywaji vyao...maana pamoja na utundu-dogo ni mgomvi mno..!! Na hiyo cheza yake...am sure at the end walimwachia ukumbi mzima peke yake!!
Hey hongera jiang mkaka anawakilisha he has grown into a big boy now.Mungu aendelee kuwakuzia
Kwa kweli watoto wameshangweka.
Haya baby X umeshaongeza afya kubwa sana katika mwili kwa hilo zoezi.
-Hongera nyote mliyehudhuria, watoto wanahitaji kufurahi.
disminder.
Hi jiang mambo vipi me ni mama wa mdau kutoka Moshi Anaitwa aziz, yaani picha za x zimeniacha hoi haswa hiyo ya mpaka chini, ama kweli kuwa na mtoto ni raha. Safi sana
Xchyler kapendeza na Bibi hake
Wasalimie sana.
From jakii Sweden
nimeipenda sana jeans ya X, kapendeza sana..ndo zawadi toka masomoni nini!
Post a Comment