Thursday, April 22

Karibu Bella

Pongezi za pokee ziwafikie rafiki zangu, Dr Moses Ringo, aka Dr Mo na Dr Georgina Balyorugulu kwa kujaaliwa kupata mtoto wao wa kwanza, aliyezaliwa usiku wa kuamkia leo, saa 8.25, hispitali ya Muhimbili.
Mdau huyo mpya anaitwa Bella tutaona picha zake soon!
Dr Mo ana aka mpya, Baba Bella! anavyojidai, utamtaka!
Mama na Mwana pamoja na wadau woooote inamuombea mdau mpya Mungu amjaalie afya njema na maisha merefu yenye kheri na baraka tele.

No comments: