Tuesday, January 11

Sorry kwa kupotea

Samahani wadau kwa kupotea ghafla, niliumwa mara tu baada ya mwaka mpya, na Xchyler naye akaumwa after, so sikuweza hata kuwatakia mwaka mpya mwema...saa tunaendelea vizuri, sha-rudi job, na Kaila amefungua shule jana bila shida.
Natumia nafasi hii kuwatakia wote Mwaka Mpya Mwema.
Cheers, Jiang.

No comments: