Tuesday, June 5

Dar Zoo ilikua bombaaaa!

Hapa ndo tumefika na tumeshachoka hoi!!!...asikuambie mtu ni mbaliiiii balaa...ilifika point nikajua tumepotea, maana naona vibao vya shule za Kisarawe huko!!!

...hawa ni watoto karibu wote wakiwa na Regina...

...kwanza chakula...huyu ni Khreflo Mfumu akigombana na mfupa wa kuku, mwili haujengwi kwa matofali!

...Regina na malaika wake; Herrieth na Haroon...  (H)...(vidoleeee)

...Rosemary Mizizi na Kloe na Khreflo... (K)

...mie na Xchyler na Xyleen wangu (X)...kidole cha X tumekikosaje?

...kaka Khreflo akikagua wanyama...

...raha ilikua hapa sasa...

...asikuambie mtu, Arabs make it look soooo easy in movies...kupanda huyu mnyama si mchezo nilipiga kelele, Xy akanishikilia kwa nguvu, X hapo mbele alikua ngangari ( maana nilikazana kumbambia, beib usiachie, shika kwa nguvu!!!)

...Ila ride yenyewe sio issue, issue kupanda na kushuka...




...ahaaa..sasa tunapumua...ila it was a great experience, ukienda Dar Zooo make sure umepata Camel Ride!!!!

...wengine hao wakapanda...na bado wanaugulia maumivu ya miguuu lol!

...hii Xchyler aliitaka alipoiana tu...ni kibajaji cha punda...watoto walifurahi sana!!!


...Kwa kweli tuli-enjoy sana...make sure una mafuta ya kutosha!!! ni mbali haswa!!! Pia gari la chini chini halifai, kuna rough road parefu, au mtu wa I-Love_my-car, u will cry!!!  wenye watoto wadogo, pack tu uji/maziwa/vyakula vya kusaga this is like a whole day thing. Kiingilio ni kawaida tu, wakubwa 5,000 wadogo (from 2yrs) 2,000!
And, jamani usiondoke bila camel ride!

No comments: