Wednesday, December 24

Dalili Kumi Kuu Kwamba U-Mjamzito

Mie, enzi hizooo.
Kwa mtu anayetamini kuwa mama, dalili ndogo tu anaanza kufurahia, kwa anayeogopa ndio anachanganyikiwa ghafla. Najua mwanamke yeyote kamili anaanza kuhisi kuwa yu mjamzito mara tu baada ya kumiss period yake.

Since hii ni blog ya kuelimishana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo watoto, mwaka mpya mambo mapya. Kuanzia tarehe moja hadi tarehe kumi January 2009, nitapost dalili kumi kuu za kukuambia kuwa u-mjamzito, kuanzia ya mwisho hadi ya kwanza, yenye uhakika.
Stay Tuned…
NB: Nitumieni hizo picha za ujauzito niambatanishe na postings zangu.

No comments: