Friday, December 19

Kumuacha Mtoto Nyumbani Mara ya Kwanza

Mtoto Lisa-Joann Erick akiwa amepozi, mtoto mzuri kama Malaika.

Mtoto wa Kwanza: Ukimuacha mwanao nyumbani kwa mara ya kwanza, unampigia dada mara 5 ndani ya kila nusu saa, na hapo umemuachia vocha ya 5,000 akupigie mtoto akilia.
Mtoto wa Pili: Kabla ya kutoka, unakumbua kumuachia dada mia tano ya vocha ya kukupigia kukiwa na tatizo.
Mtoto wa Tatu: Unamwambia dada akubipu akiona mtoto ameumia na anatoka damu.

1 comment:

Anonymous said...

hahaa hii joke nilikua sijaiona
mh umeniacha hoi!
Mama Frida