Wednesday, January 28

Nyumbani

Mtoto wa Kwanza: Miezi ya mwanzo kila siku unatumia muda mrefu ukizubaa unamwangalia tu mtoto.
Mtoto wa Pili: Utatumia muda mwingi kuhakikisha mtoto wa kwanza hamtoboi macho wala kumfinya mtoto mpya.
Mtoto wa Tatu: Unatumia muda mwingi kujificha watoto wasikusumbue.

No comments: