Thursday, January 1

Ujauzito - Dalili No. 10

Maziwa Kujaa

Maziwa yakujaa, au ukiyagusa yanauma flani hivi, ni dalili ya mwanzo kabisa ya mimba ambayo hata hivyo watu wengi hatuifahamu. Sababu kubwa ya kutoifahamu ni kwamba kwa wanawake wengi period ikikaribia hali hii huwa inatokea tu mara nyingi, so hapa tunaiconfuse ya mimba na ya period.

1 comment:

Anonymous said...

It seems my language skills need to be strengthened, because I totally can not read your information, but I think this is a good BLOG