Sunday, January 4

Ujauzito - Dalili No. 7

Kichefuchefu au/na kutapika

Wanawake wengi huwa wanapata kitu kinachoitwa morning sickness, lakini haiji hadi mwezi baada ya mimba kutunga. Na wachache hawapati hiki kitu kabisaaa.
Na hilo jina la kizungu lisikudanganye, kutapika sio morning sickness tu, kama wewe ni wa kutapika unaweza kutapika asubuhi, mchana au usiku!

1 comment:

Anonymous said...

Very rich and interesting articles, good BLOG!