Wazazi tupalilie vipaji vya wanetu tangu wakiwa wadogo.
Mi bado sijajua mwanangu ana kipaji gani, labda cha kuwahi kila kitu, hata meno yaliwahi. Ambao mmeshatambua vipaji vya wanenu msisubiri vife, wapeni nafasi wavifanyie kazi.
(Picha by Anko Mjegwa)
No comments:
Post a Comment