Baadhi ya wanawake wafanyakazi wa TSN wakiwa Pugu Kajiungeni kwaajili ya kutoa msaada wa vyakula kwa watoto yatima ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani. Hapa msaada ndio kwanza umefika, watoto wanasubiri vitu vifunguliwe tu.
At last, vitu vilifunguliwa na watoto wakapata nafasi ya kukata kiu na juice baada ya kukabidhiwa zawadi.
No comments:
Post a Comment