Saturday, November 14

Raul anapenda kula!


Huyu ni mdau Raul Tengeneza, anawapa pole akina mama ambao wanao hawapendi kula, yeye na chakula ni kama uji na mgonjwa. Anapenda kula balaa, na akisha kula ni kujiramba na kicheko. Ila anapenda kuangalia TV balaa, tena hapendi kukaa mbali mpaka wazazi tuna hofu na uzima wa macho yake. hapo sijataja utundu, maana akishakula hakuna lingine zaidi ya kuharibu kila kilichoko mbele yake, hakuna linalompita, na anajua kudesa ni balaa, msifanye jambo akaona.
Hii ni toka kwa Baba'ke.

2 comments:

Anonymous said...

waoo,il est vraiment beau ton gosse!kakua kweli.

Anonymous said...

duuuh ya kurithi nasikia uwa inakuja mara dufu.

disminder