Monday, April 30

Mtoto azaliwa na sehemu za siri kichwani


KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, mtoto wa ajabu amezaliwa katika Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma, mjini Songea, ambapo maumbile yake ya sehemu za siri yako kichwani.

Kaimu mganga mfawidhi wa hospitali hiyo, Mathayo Chanangula, alisema mtoto huyo alizaliwa Aprili 25, mwaka huu, saa saba mchana akiwa na uzito wa kilo 1.9 licha ya kutimiza miezi tisa ya kuzaliwa.

Chanangula lifafanua kuwa kwa kawaida mtoto anatakiwa kuzaliwa na uzito wa kilo 2.5. Pia alieleza sababu za kitaalamu zilizosababisha mtoto huyo kuzaliwa katika hali hiyo kuwa ni unywaji wa dawa zisizostahili kwa mama mjamzito kabla ya kutimiza miezi mitatu ya ujauzito.

Mtoto huyo kila anaponyonya, sehemu hiyo za siri ya jinsia ya kiume iliyo kichwani kwake inasimama kama vile anataka kujisaidia haja ndogo.

STORY KAMILI PATA HAPA

PICHA (sorry siwezi kuziweka hapa) ZIKO HUKU

1 comment:

Anonymous said...

Jiang, mama Mwita hapa..it is sad that someone would actually publish those pictures and write disrespectful captions describing the abnormality. I wish people could sue idiots like the one that put out those pictures for all to see.

Kuna watu hawana utu kabisa jamani. I'm so saddened by this.

So so sad. Jamani ignorance is a serious disease..