Friday, June 8

Mnafanyaga streaching kwa watoto?


Hii ni muhimu kwa watoto jamani...hasa wachanga, (maana walijikunja for 9 months tumboni) ingawa wao unawafanyia taratibu, kama massage, Xyleen imebidi tu azoee tu, maana alikua hapendi kabisaaa...hapa yuko na bibi... big boi Xchyler alikua anapenda sana...

No comments: