Friday, August 10

Kama US president ana time, wewe unashindwaje?

...Yes, President Obama mwenyewe na mwanae mdogo, Sasha... Baba na Mwana moment.
...Rais wa nchi kubwa kama Marekani ana muda wa kukaaa kwenye majani kudekeza mtoto, afu wewe unajifanya uko bize... acha hizo, wikend ndio hiyo inanukia, tenga muda wa kukaa na mwanao wikend hii!

No comments: