Tuesday, December 4
Likizo Tym vipi?
Friday, November 23
Baba wa Mfano
Kina baba mpo?
Monday, November 12
Xy's One year photoz
Friday, August 10
Kama US president ana time, wewe unashindwaje?
Sunday, July 11
Tuesday, March 9
Wednesday, December 16
Khloe- Dady's girl

Wamependeza sana kiukweli...na huyu baba mtu anavyojidai na huyo mtoto, utadhani yeye ndio mtu wa kwanza kuwa na mtoto...maana hiyo miezi mitatu tumetangaziwa ofisini, na picha imepigwa (afu kaiphotoshop mwanyewe, nimeletewa), sipati picha besdei ya mwaka mmoja itakuwaje.
Hongera kwa kuwa baba, kumpenda mam'mtu (Rosemary Mallya) na kujidai na mwanao.
Friday, December 4
Amin akila good time na baba
Friday, November 13
Bridgitte, dady's girl
Thursday, November 5
Monday, November 2
Unatekeleza vizuri majukumu ya kazi yako ya ubaba?

Hii nimetumiwa na mdau Prisca Mbeswa anasema, "washua wa kibongo wakishakuwa viongozi wanasahau haki za kimsingi kabisaa za watoto wao,,,,
Mimi nakubaliana na Prisca kabisa, au madingi wa kibongo mnabisha???
Kwa kuanzia tu mi sijawahi kumuona JK akiwa karibu na familia yake kikawaida...kila kitu protocal, hata kwenye starehe wanaenda kiprotokali!
Kama baba jiulize, unatimiza wajibu wako katika kazi yako ya ubaba?
Mara ya mwisho umepokewa kama hivi na mwanao lini? ukute kila siku unaondoka wamelala, unarudi wamelala!
Mara ya mwisho umetoka na mwanao, ukatimia muda nae kuongea, kucheza, kucheka, kujuana lini? au we muda wako ni kukaa baa na washkaji tu? Miaka inaenda unadhani unamjua kumbe wala humjui mwanao, by the time unajua hilo unabaki kulalamika, hawa watoto wanamsikiliza mama yao tu!
Baba tenga muda wa kukaa na wanao, hata kama suti itachafuka kwa kuwa kakurukia na uchafu sawa tu, hamna kitu kizuri kama kuwa karibu na rafiki wa mwanao.
Wednesday, October 28
Friday, October 23
Ney & Micha

Mtoto ni mzuri kwa kweli, cute, cute cute...na afya imekubali.
Tuesday, October 20
Friday, September 11
Wednesday, June 10
Wadau Mmependelea...
Sunday, May 24
Thursday, May 21
Prince & Franco
Sunday, May 17
Baba na Mwana Kariakoo
