Tuesday, December 4

Likizo Tym vipi?

Likizo imeshaanza...nyumbani lazima kuchangamke maana wadau wako home full time!
X ameianza kwa kasi sana...Ijumaa alitoka straight from class to Ubungo, alikua anaenda Morogoro kwa daddy...alisindikizwa na Anko, so it was boys only affair!

Likizo hii kuna wanaeonda kuhesabiwa...siku hizi si wachaga tu, kwenda kijijni wakati wa likizo raha sana, kuna wanaobaki hapahapa, kuna wanaenda abroad kutembelea ndugu na marafiki...whatever you are doing, hakikisha mdau ana-enjoy!
Likizo njema.

No comments: