Thursday, November 8

Circus Mama Afrika ilikua bomba sana!

Kwa sasa imeshaisha...lakini je ulipata nafasi ya kuhudhuria Tigo Mama Afrika Circus?
Nilienda na wadau kibaoooo...na ilikua bomba sana, wote tulienjoy,wakubwa na totoz.

 Harrieth, Xchyler na Xyleen (yuko bize na kinachoendele mbele...

...hizo red lips ni pipi tu... 

Thierry naye alikua na baba na mom...Josh na Janet. 

...kuna time mtoto aliitwa mbele kushiriki kupiga ngoma... 

...Xchyler alitamani sanakwenda kupiga ngoma...hadi akasogea mbele kabisa...ila haikuwezekana...

 Haroon, mdogo wake Harrieth akiwa na baba na mom, Edward n Regina...

...makofi tafadhali....

 ...kwa kweli ilikua bomba sana,...kama ulikosa this time, usikose next time...kama ulienda najua hutakosa, as mie sitakosa...

No comments: