Thursday, January 17

BABA WA MFANO


Yes huyu ni baba wa mfano.
Sio wababa wote ambao huwabeba watoto wao wanapokuwa matembezini. 
Wengine hudhani kwamba hiyo ni kazi ya mama pekee. 
Hebu cheki mdau alivyo relax. 
Hadi raha

No comments: