Thursday, May 21

Watoto wa Mbagala Wakipimwa Masikio


Wanafunzi wa shule za msingi Mbagala takriban wiki sasa wanapatiwa huduma ya kuangalia masikio na macho iwapo kama yameathiriwa na milipuko ya mabomu.
Wadau wa Mama na Mwana tuzidi kuwaombea kheri hawa wenzetu, maana yaliyowakuta ni makubwa, kuna waliopoteza watoto, wengine hawajawaona hadi leo, na wengine ndio wamepate ulemavu wa viungo.
(Picha hisani ya Father Kidevu)

No comments: