Monday, December 1

U.S. First Family


Sasha (7yrs) na Malia (10yrs) wakiwa na baba yao, raisi mteule, Barrick na mama yao, The Next First Lady, Michelle, siku ilipotangazwa kuwa baba yao ameshinda kiti cha uraisi wa U.S. Kinachosubiriwa ni kuapishwa tu, sio mbali, ni next month tu.
Tetesi: Michelle anataka ajaribu tena, anatamani sana mtoto wa kiume.

No comments: