Wednesday, March 4

Kujiandaa kwa Uzazi

Mtoto wa Kwanza: Unasoma na kujitayarisha kwa kila kitu, unauliza kila swali kwa docta.
Mtoto wa Pili: Huangaiki kusoma maana haikukusaidia kitu wakati wa uchungu wa mtoto wa kwanza.
Mtoto wa Tatu: Unaomba operesheni mapemaaa!

No comments: