Monday, March 9

Sehemu Zenye Mkusanyiko wa watu ni Hatari Kwa Watoto

Mwanafunzi wa shule ya msingi Mnazi mmoja, Abdulatif Selemani (aliyelala) akipepewa na wasamaria wema baada ya kuzirai kukanyagwa kutokana na vurugu za kutaka kuwaona wachekeshaji wa kundi la ‘Orijino Komedi’ wakati wa uzinduzi wa Siku ya Wanawake Duniani, Viwanja vya Mnazi Mmoja, wiki ilkiyopita.
Ni muhimu sana wazazi na walezi kuwafundisha watoto kuwa makini sehemu zenye watu wengi, saa nyingine watoto huwa wanaumia kwa kukanyagwa. (Picha na Fadhili Akida)

No comments: