Mdau wa siku nyingi, Jayson James, akifanya utundu.
Hapa anazima na kuwasha stabilizer, na hivyo anazima na kuwasha TV.
Watoto otee wanapenda kuzima na kuwasha vitu, hasa ambavyo wanaona effect yake hapo hapo, kama TV na taa.
Hapa anazima na kuwasha stabilizer, na hivyo anazima na kuwasha TV.
Watoto otee wanapenda kuzima na kuwasha vitu, hasa ambavyo wanaona effect yake hapo hapo, kama TV na taa.
Kahamia kwenye viatu, ni kupangua tu. Hapa ndipo mpangilio wa vitu unapokuwa mgumu ndani, maana we ukipanga yeye anapangua...
1 comment:
Mpaka hapa huyu nasema atakuwa Fundi Umeme tena Mkuu
hahahahaha
Hongera mama Jayson nimependa huu ni ndiyo wakati wao wa kujidai.
disminder
Post a Comment