Thursday, May 24

Hausigeli anayedaiwa kumuua mtoto anusurika kifo

 
Mwezi Machi mwaka huu, habari ya hausigel kumuua mtoto wa bosi wake
  ilitikisa jiji la Dar na nchi nzima kwa ujumla.
Wazazi tunaowategemea hawa wasaidizi 
wetu wa nyumbani tulipatwa na hofu, tukapigwa na bumbuwazi 
na kupata mfadhaiko
 baada ya kusikia habari katika vyombo vya habari juu ya hausigeli 
aliyedaiwa kumuua mtoto huyo wa miezi saba aliyeitwa Angel.
Jana huyo dada kakamatwa na kidogo apigwe ila wasamaria wakamuepushia kifo, na kumuepushia balaa zaidi mama wa mtoto (maana naye angesababisha kifo cha dada huyo kwa hasira ingekua mbaya kwake) na amefikishwa polisi.
Kwa habari kamili gonga hapa  HABARI LEO

No comments: