Tuesday, November 17

Prescious Prescious...

Mimi naitwa Precious Anthony wa Dar es salaam.
Nina Umri wa miezi miwili sasa, ningependa kubadilishana mawazo na wadau wa hii blog. Hii picha ni siku nipoingia ulimwenguni, nitazituma nyingine zaidi baadaye.
Asante. Nawakilisha.
Precious.
*****
Na sisi tunakuambia karibu sana Prescious, hii picha inanifanya nitamani mtoto mchanga...sooo beautiful.

No comments: