Showing posts with label Wajina. Show all posts
Showing posts with label Wajina. Show all posts

Saturday, January 3

Baba na Mwana - Thierry na Josh

Thierry Mukanda Murunga akiwa na baba yake Josh Murunga (mtangazaji wa EATV, pia producer wa vipindi vingi kwenye TV hiyo, including Planet Bongo). Kwa jina kama hili, hatuna shaka wewe ni ARSENAL damu, sijui nae huyu atakuwa striker? Mnaojua kugundua vipaji tangu mapema mnasemaje kuhusu hiyo miguu ye Thierry Murunga?

Saturday, December 20

Bongo Celeb Toto - Thierry Murunga

Thierry Mukanda Murunga mtoto wa mtangazaji maarufu wa EATV, Josh Murunga (pia producer wa vipindi vingi kwenye TV hiyo, including Planet Bongo) anatufungulia Celeb Toto ya hapa bongo. Mama yake ni Janeth Mushi. Huyu mtoto anaonekana mtundu kama baba yake, yani hapa ana miezi mitatu tu!

Henry Anajaribu Tai

Thierry Henry Mgwabati (1.8yrs) akijaribu tai ya baba yake, Faraja Mgwabati.

Thursday, December 18

Baby Jamil


Baby Jamil akiwa katika wiki moja tokea azaliwe may 2008.Mtoto wa kwanza katika familia ya Mr.&Mrs Jamal Jamidu.Mungu amjaalie afya njema mtoto Jamil au (Baraka jina alilopewa na daktari wa Muhimbili ikiwa kama ni baraka kutoka kwa Mungu). Jamani wadau naweza akajakuwa kama Baraka Obama.

Friday, December 12

Mini Me - Justades & Suri


Justades Angelo akiwa na mwanae, Suri. Mhh, huyu mwenzetu kajizaa, maana amemranda sana mwanae. Macho, shepu ya sura, hadi smile, hadi rangi, mtu hata huulizi, ni kama yeye mwenyewe mdog (mini me) au nyie mnaonaje???